كلمات اغنية Abla Allyah – Nalia Mimi

كلمات اغنية Abla Allyah – Nalia Mimi مكتوبة

Mmmhhhh

Aaahh aaah aah

Naililia Tanzania

Mmmhhh nchi yangu

Naililia Afrika

Oooh bara langu

Naililia Tanzania

Oooh nchi yangu

Naililia Afrika

Oooh bara langu

Ni wapi tunakwenda

Hali macho tumefumbwa

Ni wapi tunakwenda

Hali macho tumefumbwa

Kiza mbele kimejaa

Na nuru imefutika

Kiza mbele kimejaa

Na nuru imeondoka

Tabasamu limenyauka

Bashasha zimefutika

Hofu,huzuni nyoyoni metujaa

Machozi yatiririka

Nalia mimi

Nalia mimi

Nalia mimi

Nalia mimi

Nani? Nani

Atakuwa mkombozi

Nani? Nani

Atakuwa mkombozi

wetuu

Haaa haaaa haaaa haaaahaaaaa

Sijui ntalalaje

Nao sijui walalaje

Vita iso ya haki

Tutaishindaje

Sijui ntalalaje

Nao sijui walalaje

Vita iso ya haki

Tutaishindaje

Twapigana vita tena ya kushindwa

Kubadilisha dunia kwa kuishambulia

Daima dhuluma ndio inayoshinda

Walalaje dunia inaungulia

Oo nani? naniii

Mola gusa machozi yangu

Ya moto shavuni mwangu

Mola gusa machozi yetu

Ya moto shavuni mwetu

Nalia mimi

Nalia mimi

Nalia mimi

Nalia mimi

Nani? nani

Atakuwa mkombozi

Ooh Nani? nani

Atakuwa mkombozi

Nani? nani

Atakuwa mkombozi

Nani? nani

Atakuwa mkombozi

Ooh Nani? nani

Atakuwa mkombozi

Wetuu


التعليقات


اغاني مشابهة